WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amefungua rasmi Mkutano wa 65 wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani-Kamisheni ya Afrika (UNWTO-CAF), leo 5 Oktoba, 2022 jijini Arusha. 

Mkutano huo wenye kauli mbiu " Rebuilding Africa’s Tourism Resilience for Inclusive Socio-Economic Development”  umekutanisha washiriki takribani 200 kutoka mataifa mbalimbali kwa lengo la kujadili masuala mbalimbali yanayogusa shughuli za utalii barani Afrika.

Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imeshiriki kikamilifu kwenye ufunguzi huo wa mkutano ukiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi , Mej.Gen ( Mstaafu) Hamis Semfuko na Kaimu Kamishna wa Uhifadhi Mabula Misungwi Nyanda.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...