Watumishi wa Chuo cha sayansi za Afya Kolandoto Shinyanga wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wafanyakazi wa Mgodi wa Almasi wa Mwadui uliopo wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga kwenye sanamu la Williamson

Watumishi wa Chuo cha Sayansi za Afya Kolandoto Shinyanga wameendelea kufanya ziara ya mafunzo katika maeneo mbalimbali hapa nchini.

Ziara hii imekuwa ikifanyika kila mwaka majira kama haya, kwa lengo la kujifunza kazi zinazofanywa na wenzao, kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo hapa nchini kwa lengo la kuvitangaza vivutio hivyo,kukitangaza chuo chao pamoja na kujenga mahusiano ya kazi.

Katika ziara hizo wamewahi kutembelea hifadhi ya Ngorongoro,hifadhi ya Ruaha, na kwa mwaka huu ziara hii imekuwa ya tofauti ambapo siku ya Alhamisi ya 13 Oktoba 2022 walitembelea Mgodi wa almasi Mwadui uliopo wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga na leo 17 October wameanza safari ya kwenda mikoa ya kanda ya kaskazini mwa Tanzania, ambapo watapanda Mlima Kilimanjaro,watatembelea maporomoko ya maji yaliyopo Marangu na Hifadhi ya Taifa ya Arusha.

Watumishi wa Chuo cha sayansi za Afya Kolandoto Shinyanga wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wafanyakazi wa Mgodi wa Almasi wa Mwadui uliopo wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga kwenye sanamu la Williamson

Watumishi wa Chuo cha sayansi za Afya Kolandoto Shinyanga wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wafanyakazi wa Mgodi wa Almasi wa Mwadui uliopo wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga

Watumishi wa Chuo cha sayansi za Afya Kolandoto Shinyanga wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wafanyakazi wa Mgodi wa Almasi wa Mwadui uliopo wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga

Watumishi wa Chuo cha Sayansi za Afya Kolandoto Shinyanga wakipewa mafunzo na Mhandisi Mkuu wa Mgodi wa Almasi wa Mwadui uliopo wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Eng. Shagembe Mipawa

Watumishi wa Chuo cha Sayansi za Afya Kolandoto Shinyanga wakipewa mafunzo na Mhandisi Mkuu wa Mgodi wa Almasi wa Mwadui uliopo wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Eng. Shagembe Mipawa

Watumishi wa Chuo cha Sayansi za Afya Kolandoto Shinyanga wakipewa mafunzo na Mhandisi Mkuu wa Mgodi wa Almasi wa Mwadui uliopo wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Eng. Shagembe Mipawa

Watumishi wa Chuo cha Sayansi za Afya Kolandoto Shinyanga wakipewa mafunzo na Mhandisi Mkuu wa Mgodi wa Almasi wa Mwadui uliopo wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Eng. Shagembe Mipawa

Eneo linalochimbwa madini ya Almasi katika mgodi wa Mwadui uliopo Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga

Mafunzo yakiendelea

Mafunzo yakiendelea

Mafunzo yakiendelea

Mafunzo yakiendelea

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...