Kikao cha maboresho ya Bandari ya Tanga chafanyika Leo chini ya Mwenyekiti Mkurugenzi wa Huduma za Usafirishaji Eng.A.Kissaka

Kikao hiko kilifuatiwa na zoezi la majaribio ya kuingiza Treni ndani ya bandari ya Tanga, mara ya mwisho Treni kuingia ni miaka 20 iliyopita.

Uwepo wa treni hizo utapunguza gharama za usafirishaji kwa mteja










Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...