Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mheshimiwa Fatma Nyangasa akipanda miti aina ya Mizambarau na Midodoma katika eneo la kisima namba 11 kilichopo Kigamboni ambacho ni sehemu ya visima 7 vilivyochimbwa na DAWASA kwa ajili ya kutoa huduma ya maji kwa wananchi wa Kigamboni na katikati ya jiji la DSM.

 Zoezi la upandaji miti ni moja ya maagizo ya Waziri Mkuu Mheshimiwa Kassim Majaliwa alilotoa alipotembelea mradi wa maji wa Kigamboni kwa lengo la kutunza mazingira na vyanzo vya maji.







Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...