KAMPUNI ya Geita Gold Mining Ltd. (GGML) imenyakua tuzo ya juu ya uwajibikaji wa Kampuni kwa Jamii katika Tuzo za Mwajiri Bora wa Mwaka zilizoandaliwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) wiki iliyopita.

Aidha, GGML ilipokea tuzo ya juu kwa miradi yake ya uwajibikaji kwa jamii na mshindi wa pili katika kipengele cha muajiri bora wa sekta binafsi.

Kampuni ya AngloGold Ashanti - Geita Gold Mining Limited inajivunia kwamba mafanikio haya yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na michango ya wafanyakazi wake, wakandarasi, uongozi, na kuendelea kuungwa mkono na kuongozwa vyema na serikali.




 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...