KAMPUNI ya Geita Gold Mining
Ltd. (GGML) imenyakua tuzo ya juu ya uwajibikaji wa Kampuni kwa Jamii
katika Tuzo za Mwajiri Bora wa Mwaka zilizoandaliwa na Chama cha Waajiri
Tanzania (ATE) wiki iliyopita.
Aidha, GGML ilipokea tuzo ya juu
kwa miradi yake ya uwajibikaji kwa jamii na mshindi wa pili katika
kipengele cha muajiri bora wa sekta binafsi.
Kampuni ya AngloGold
Ashanti - Geita Gold Mining Limited inajivunia kwamba mafanikio haya
yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na michango ya wafanyakazi wake,
wakandarasi, uongozi, na kuendelea kuungwa mkono na kuongozwa vyema na
serikali.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...