Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya Picha ya ramani ya Bara la Afrika kutoka kwa Rais wa Saharawi Mhe. Brahim Ghali mara baada ya mazungumzo yao katika Ofisi za ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi zawadi ya Picha ya Mlima Kilimanjaro Rais wa Saharawi Mhe. Brahim Ghali mara baada ya mazungumzo yao katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)  Mhe.Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Saharawi Mhe. Brahim Ghali mara baada ya Kikao cha Chama kilichofanyika kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...