Mkuu wa Mkoa wa Mara, Meja Jenerali Suleiman Mzee(kushoto) akikagua ujenzi wa Vyumba 13 vya Madarasa. Kati ya vyumba hivyo vyumba 08 viliombwa kupelekwa Mtaa wa Kunanga uliopo umbali wa KM 12 kutoka shule ya Sekondari GUTA. Maombi hayo ya kuhamasha vyumba 08 yalilenga kuwapunguzia umbali wanafunzi wanaotoka zaidi ya umbali wa KM 12 kila siku kuja GUTA Sekondari.
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Meja Jenerali Suleiman Mzee(wa pili toka kushoto) akikagua . Aidha, RC. Mzee ameshangazwa kuona baadhi ya majengo ujenzi ukiwa umesimama ambapo amemtaka fundi kuhakikisha majengo yote kazi zinaendelea ili kukamilisha kazi ndani ya muda.
Muonekano wa jengo la Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Bunda
Baadhi ya madarasa yakiwa katika hatua mbalimbali za ujenzi kama yanavyoonekana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...