Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo katika kikao na Watendaji wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji wakiongozwa na Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Mhe. Exaud Silaoneka Kigahe.
Kikao hicho kilichofanyika leo tarehe 13 Januari, 2023 katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma kilikuwa cha kupokea na kujadili Taarifa ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji ya utekelezaji wa Maazimio ya Bunge kuhusu Sheria Ndogo zilizowasilishwa katika Mkutano wa Tano wa Bunge.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...