


Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) wa pili kulia, Mkurugenzi wa Shirika la Reli (TRC) Bw. Masanja Kadogosa, wa kwanza kulia, Kamishna Idara ya Usimamizi wa Deni la Taifa, Bw. Japhet Justine, kushoto, wakiwa katika picha na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinwumi Adesina, wa pili kushoto, alipowasili nchini kwa ziara ya kikazi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...