Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imeibuka mshindi wa kwanza kwa Taasisi zenye uhusiano mzuri na vyombo vya habari, TRA imeshika number mbili na CRDB imekuwa ya tatu, Tuzo hiyo imetolewa leo Tar.18/02/2023 na Chama cha Maafisa Uhusiano Tanzania, Dar es Salaam.

Sambamba na hilo pia Meneja wa Mawasiliano EWURA, Bw. Titus Kaguo, ameibuka kuwa mtendaji bora wa Mawasiliano na Uhusiano katika sekta ya mafuta na gesi Tanzania.

Tuzo hizo zimefunguliwa na na Naibu Waziri wa Habari, Mhe. Kundo Mathew na kuhudhuriwa na Wataalamu wa Habari na Mawasiliano wa Serikali na sekta binafsi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...