Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Daniel Chongolo akizungumza kwenye Kikao Kazi cha 18 cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano kutoka Serikalini (TAGCO) kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam Machi 29, 2023. Kikao hicho cha siku tano kimebeba kauli mbiu isemayo "Mawasiliano ya Kimkakati Injini ya Maendeleo". (PICHA NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID).


Katibu wa TAGCO, Bw. Abdul Njaidi (wapili kulia) na baadhi ya wajumbe wengine wa Kamati ya Utendaji ya TAGCO, wakisikiliza hotuba ya Ndg. Chongolo.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, akizunhuzma kwenye Kikao hicho.
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, akizungumza kwenye Kikao hicho.
Mwenyekiti wa TAGCO, Bi. Sarah Kibonde
Washiriki wakifuatilia kwa makini hotuba ya Katibu Mkuu wa CCM, Ndg. Daniel Chongolo ( hayupo pichani).
Katibu Mkuu wa CCM, Ndg. Daniel Chongolo (kulia) akiteta jambo na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye.
Katibu Mkuu wa CCM, Ndg. Daniel Chongolo (katikati) na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Selestine Kakele. 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Selestine Kakele akizungumza wakati wa kikao hicho.



Wajumbe wa Kamati Tendaji ya TAGCO
 Wajumbe wa TAGCO 
Katibu Mkuu wa CCM, Ndg. Daniel Chongolo (katikati) akisindikizwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (kushoto) na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Gerson Msigwa mara baada ya kuhutubia kikao kazi cha 18 cha TAGCO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...