RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 18-5-2023 na (kulia kwa Rais) Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha ACT-Wazalendo ambae pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalenzo Mhe. Juma Duni Haji, na (kushoto kwa Rais) Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Mhe. Zitto Kabwe.(Picha na Ikulu)



 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...