Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar , Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewasili ukumbi wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja uliopo Mahonda.

Rais Dk. Mwinyi atazungumza na Viongozi wa CCM ngazi ya shina, Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM ngazi ya Jimbo, Wilaya na Mkoa.

Pia atatembelea na kukagua miradi ya CCM Mkoani humo ikiwemo eneo la Kituo cha Mafuta Mahonda, kitega uchumi cha CCM Nungwi, eneo la CCM Afisi kuu Kiwengwa, Shamba la CCM na Afisi kuu Kilombero.

đź—“️11 Juni 2023

đź“ŤMkoa wa Kaskazini Unguja.






 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...