Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu ( Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama akizungumza na
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana , Ajira na Wenye
Ulemavu), Profesa Jamal Katundu (kulia) na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo
ya Ndani ya Nchi, Kaspar Mmuya walipokutana kwenye kikao cha kazi kwenye
ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Julai 3, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Home
HABARI
WAZIRI JENISTA AKIZUNGUMZA NA MAKATIBU WAKUU ALIOWAHI KUFANYA NAO KAZI OFISI YA WAZIRI MKUU WAKIWA MANAIBU KATIBU WAKUU OFISI YA WAZIRI MKUU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...