Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu ( Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama akizungumza  na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana , Ajira na Wenye Ulemavu), Profesa Jamal Katundu (kulia) na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Kaspar Mmuya walipokutana kwenye kikao cha kazi kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Julai 3,  2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...