Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Elibariki Bajuta, amezungumzia uhusiano wa usalama wa chakula na sekta ya utalii, huku Tanzania ikijiandaa kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF summit), utakaofanyika Septemba 5-8, 2023, jijini Dar es Salaam.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...