YAH: KUSOGEZWA MBELE KWA TAREHE YA KUFANYIKA KWA TAMASHA LA WAPI MUZIKI NA MISOSI

Ndugu Wananchi.

Tunaomba radhi na kuwajulisha kuwa Tamasha la WAPI MUZIKI NA MISOSI lililokuwa lifanyike tarehe 26 Agosti 2023   

LIMEAHIRISHWA NA HIVYO LIMESOGEZWA MBELE kutokana na Sababu zilizo nje ya uwezo wetu.

TAARIFA ZAIDI ZITAENDELEA KUTOLEWA.

Ahsanteni kwa ushirikiano wenu.

Mungu Ibariki Afrika

Mungu Ibariki Tanzania 


Imetolewa na Kamati ya Maandalizi-Wapi Muziki Na Misosi: Maadili Kwanza 2023

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...