Naibu Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa jengo la Metrology Annex unaendelea katika Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Kampasi ya Dar es Salaam.
Hayo yamebainishwa wakati wa ziara ya kikazi iliyofanyika tarehe 26 Septemba, 2023 ambapo ilielezwa kuwa jengo hilo litagharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 22.4, litakapokamilika litakuwa la ghorofa 10.



.jpeg)

Hayo yamebainishwa wakati wa ziara ya kikazi iliyofanyika tarehe 26 Septemba, 2023 ambapo ilielezwa kuwa jengo hilo litagharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 22.4, litakapokamilika litakuwa la ghorofa 10.



.jpeg)

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...