Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mjumbe Maalum wa Rais wa Korea Kusini, Bwana Yoon Sang Jick, wakati alipokutana na ujumbe kutoka Korea Kusini uliyoambatana na Makampuni makubwa ya madini, kwenye Ukumbi wa BOT jijijini Dar es salaam, Septemba 2, 2023.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mjumbe Maalum wa Rais wa Korea Kusini, Bwana Yoon Sang Jick, wakati alipokutana na ujumbe kutoka Korea Kusini uliyoambatana na Makampuni makubwa ya madini, kwenye Ukumbi wa BOT jijijini Dar es salaam, Septemba 2, 2023.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na ujumbe kutoka Korea Kusini uliyoambatana na Makampuni makubwa ya madini, kwenye Ukumbi wa BOT jijijini Dar es salaam, Septemba 2, 2023.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe kutoka Korea Kusini uliyoambatana na Makampuni makubwa ya madini, nje ya Ukumbi wa BOT jijijini Dar es salaam, Septemba 2, 2023.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...