Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Jimbo wa Lombardia Mhe. Attilio Fontana alipowasili kwenye ofisi za jimbo hilo, Milan, Italia Oktoba 20, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Rais wa Jimbo wa Lombardia Mhe. Attilio Fontana kuhusu ushirikiano kati ya jimbo hilo ambalo ni maarufu kwa ujenzi wa viwanda pamoja na Tanzania, kwenye ofisi za jimbo hilo, Milan, Italia Oktoba 20, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi Rais wa Jimbo wa Lombardia Mhe. Attilio Fontana baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika kwenye kwenye ofisi za jimbo hilo, Milan, Italia Oktoba 20, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...