RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia Wanamichezo na Wananchi walioshiriki katika Mbio za Zanzibar International Marathon, katika viwanja vya Bustani ya Forodhani Jijini Zanzibar, baada ya kumaliza kwa mbio hizo za Kilomita 21,10 na 5, zilizoazia katika eneo Ngomekongwe na kumalizikia katika bustani ya forodhani Jijini Zanzibar leo 29-10-2023 na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Waziri wa Habari.Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe.Tabia Maulid Mwita.Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi Mshindi wa Kwanza wa Kilomita 10 wa Mbio za Zanzibar Internatinal Maratho kwa Wanawake Sarah Ramadhan mfano wa hundi ya shilingi 2,000,000/- baada ya kumaliza mbio hizo.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akimkabidhi zawadi Mshindi wa Kwanza wa Kilomita 10 wa Mbio za Zanzibar Internatinal Maratho kwa Wanaume John Tulumbu mfano wa hundi ya shilingi 2,000,000/- na zawadi nyengine,baada ya kumaliza mbio hizo.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi mshindi wa Kwanza wa Kilomita 21 Wanawake Lilian Leley, baada ya kumaliza mbio za Zanzibar International Marathon, zilizofanyika leo Jijini Zanzibar 29-10-2023 na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe.Tabia Maulid Mwita.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Washindi wa Mbio za Zanzibar International Marathon zilizofanyika leo Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe. Tabia Maulid Mwita na (kulia kwa Rais) Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo Tanzania Mhe.Dkt.Damas Ndumbaro.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...