
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akifanya mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini Korea Kusini Mhe. Togolani Mavura katika Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Korea Kusini ambapo yuko ziara ya kikazi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Korea Kusini Mhe. Togolani Mavura mara baada kikao kilichofanyika katika Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Korea Kusini ambapo yuko ziara ya kikazi.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo (wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Korea Kusini Mhe. Togolani Mavura (wa tatu kushoto), Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Sheria Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Dustan Shimbo (wa pili kulia) na watendaji wengine wa Serikali mara baada kikao kilichofanyika katika Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Korea Kusini ambapo yuko ziara ya kikazi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...