Timu ya Netiboli ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania- TPA “ Bandari Queens” imetwaa Ubingwa wa Mashindano ya ligi Daraja la pili Taifa baada ya kupata ushindi wa magoli 38 kwa 31 dhidi ya Mapinduzi Dodoma Katika mchezo wa tamati uliochezwa Uwanja wa Shule ya Sekondari Nsimbo, Mpanda Mkoani Rukwa.
Mkuu wa wilaya ya Mpanda Mhe. Jamila Yusuph amekabidhi kombe kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi










Mkuu wa wilaya ya Mpanda Mhe. Jamila Yusuph amekabidhi kombe kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi










Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...