Mjumbe  wa Kamati ya Utekelezaji  wa Baraza UWT,Mariam Ulega, akizungumza  na waandishi  wa habari (hawapo pichani) katika ufunguzi wa mafunzo ya siku kumi ya Uongozi yaliyodhaminiwa  na  Chama Cha Kikomunisti cha China kwa vijana 50 yanayofanyika katika  Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere iliyopo Kwa Mfipa Wilayani Kibaha Mkoani Pwani  leo Oktoba 30,2023.

Mjumbe  wa Kamati ya Utekelezaji  wa Baraza UWT Mariam Ulega (wapili kulia) akizungumza na washiriki wakati ufunguzi wa mafunzo ya siku kumi ya Uongozi yaliyodhaminiwa  na  Chama Cha Kikomunisti Cha China kwa vijana 50 yanayofanyika katika  Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere iliyopo Kwa Mfipa Wilayani Kibaha Mkoani Pwani  leo Oktoba 30,2023.
Mjumbe  wa Kamati ya Utekelezaji  wa Baraza UWT Mariam Ulega (wapili kulia) akifuatilia ufunguzi  wa mafunzo  ya viongozi hao.
Sehemu ya washiriki.



 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...