Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Dkt. Aneth Komba amehudhuria sherehe ya utoaji wa Tuzo ya Sita ya Balozi wa China nchini Tanzania zilizofanyika jijini Dar es salaam.
Tuzo hizi hutolewa kila mwaka kwa lengo la kutambua mchango wa walimu, wanafunzi na watu mbalimbali katika kusaidia kufundisha lugha ya Kichina.
Aidha, katika hafla hiyo Dkt. Komba alipewa Tuzo ya Mchango Maalumu katika kusaidia ufundishaji wa Lugha ya Kichina nchini Tanzania.
Tuzo hiyo ilikabidhiwa kwake na Mhe. Balozi wa China nchini Tanzania CHENI Minglian.
.jpeg)


Tuzo hizi hutolewa kila mwaka kwa lengo la kutambua mchango wa walimu, wanafunzi na watu mbalimbali katika kusaidia kufundisha lugha ya Kichina.
Aidha, katika hafla hiyo Dkt. Komba alipewa Tuzo ya Mchango Maalumu katika kusaidia ufundishaji wa Lugha ya Kichina nchini Tanzania.
Tuzo hiyo ilikabidhiwa kwake na Mhe. Balozi wa China nchini Tanzania CHENI Minglian.
.jpeg)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...