Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Dkt. Aneth Komba amehudhuria sherehe ya utoaji wa Tuzo ya Sita ya Balozi wa China nchini Tanzania zilizofanyika jijini Dar es salaam.

Tuzo hizi hutolewa kila mwaka kwa lengo la kutambua mchango wa walimu, wanafunzi na watu mbalimbali katika kusaidia kufundisha lugha ya Kichina.

Aidha, katika hafla hiyo Dkt. Komba alipewa Tuzo ya Mchango Maalumu katika kusaidia ufundishaji wa Lugha ya Kichina nchini Tanzania.

Tuzo hiyo ilikabidhiwa kwake na Mhe. Balozi wa China nchini Tanzania CHENI Minglian.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...