Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb.) akipokea taarifa Maalum ya
kutathmini hali ya utumishi, majengo na uwakilishi katika Balozi zote za
Tanzania kutoka kwa Kamati Maalum iliyoongozwa na Balozi Saidi Othman
Yakubu katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...