Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda (kulia), akisikiliza kwa makini maelezo kuhusu namna ya utekelezaji wa miradi kwa njia ya ubia, kutoka kwa Kamishna Msaidizi, Idara ya Ubia kati ya Sekta Binafsi na Sekta ya Umma (PPP), Bw. Bashiru Taratibu, alipotembelea banda la Wizara ya Fedha, wakati wa Maadhimisho ya Tatu ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa, yenye kaulimbiu “Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya Uchumi”, yanayoendelea katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha. Maadhimisho hayo yanawakutanisha Taasisi ndogo za Fedha, Benki, Mifuko ya Hifadhi ya Jamii pamoja na wajasiriamali kutoka mkoa wa Arusha.


Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda (wa pili kulia), akizungumza na Maafisa wa Idara ya Sera kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Abdul Ndachi (wa pili kushoto) na Bi. Mwanaidi Kanyawanah (kushoto), katika Maadhimisho ya Tatu ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa, yenye kaulimbiu “Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya Uchumi” , yanayoendelea katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha. Wa kwanza kulia ni Kamishna Msaidizi wa Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha, Bi. Janeth Hiza. Maadhimisho hayo yanawakutanisha Taasisi ndogo za Fedha, Benki, Mifuko ya Hifadhi ya Jamii pamoja na wajasiriamali kutoka mkoa wa Arusha.


Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda (kushoto), akisikiliza maelezo kuhusu malipo ya pensheni na mafao ya uzeeni kwa wastaafu kutoka kwa Afisa Hesabu Mwandamizi kutoka Idara ya Mhasibu Mkuu wa Serikali, Bw. Fadhili Izumbe (katikati) alipotembelea Maadhimisho ya Tatu ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa, yenye kaulimbiu “Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya Uchumi”, yanayoendelea katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha. Maadhimisho hayo yanawakutanisha Taasisi ndogo za Fedha, Benki, Mifuko ya Hifadhi ya Jamii pamoja na wajasiriamali kutoka mkoa wa Arusha Kushoto ni Mhasibu Mkuu, Bi. Joyce Chaki.


Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Banda la Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ), katika Maadhimisho ya Tatu ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa, yenye kaulimbiu “Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya Uchumi”, yanayoendelea katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha. Maadhimisho hayo yanawakutanisha Taasisi ndogo za Fedha, Benki, Mifuko ya Hifadhi ya Jamii pamoja na wajasiriamali kutoka mkoa wa Arusha. Akishudiwa na Bi. Aziza Baraka Omar, Afisa Masoko wa Banki hiyo na Bw. Hassan Khamis Hamad, Afisa Mauzo wa Benki hiyo.


Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda akimsikiliza kwa makini Mwanasheria wa Serikali kutoka Ofisi ya Rais Tamisemi, Bi. Antelma Mtemahanji, kuhusu taratibu za usajili wa vikundi alipotembelea Maadhimisho ya Tatu ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa, yenye kaulimbiu “Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya Uchumi”, yanayoendelea katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha. Maadhimisho hayo yanawakutanisha Taasisi ndogo za Fedha, Benki, Mifuko ya Hifadhi ya Jamii pamoja na wajasiriamali kutoka mkoa wa Arusha.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Arusha)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...