ITAKUWAJE pale ambapo unazungusha gurudumu la bahati la Wheel of Fortunes linaposimama unajikuta ni mshindi wa zawadi kedekede, bonasi ya pesa na mizunguko ya bure kucheza kwenye kasino mtandaoni mchezo wa PIA Premium.

Mwezi huu wa Novemba utakapoisha hakikisha unakuwa mmoja kati ya washindi wa kila siku kwenye promosheni hii ya Wheel of Fortunes, hakika Meridianbet ni nyumba ya mabingwa na washindi wengi hutoka kwenye ubashiri wa soka na michezo ya kasino mtandaoni ukiwemo PIA Premium.

Wheel of Fortunes Unashindaje?
Kushiriki kwenye promosheni hii kabambe ni rahisi sana huhitaji kutumia akili kubwa kuanzisha mzunguko bali, ni kubenyeza tu kitufe na safari ya kusaka bonasi na ushindi inaanza mara moja.

Zawadi za Promosheni Hii ni kama ifuatavyo;

• Mizunguko 50 ya bure kwenye mchezo wa PIA Premium
• Mizunguko 100 ya kwenye mchezo wa PIA Premium
• Mizunguko 200 ya bure kwenye mchezo wa PIA Premium
• 10,000 TZS Bonasi ya michezo
• 25,000 TZS Bonasi ya michezo
• 50,000 TZS Bonasi ya michezo

Masharti ya Promosheni.
Ø Ikiwa mchezaji atashinda bonasi, anahitaji kuitumia siku hiyo hiyo.
Ø Odd ya chini kwa kila mchezo lazima iwe 1.25.
Ø Iwapo mchezaji atashinda mizunguko ya bure, anahitaji kucheza angalau TZS 10,000 au zaidi kwenye ofa ya kasino siku hiyo hiyo.
Ø Bonasi/Mizunguko ya bure hulipwa siku inayofuata hadi saa 17
Ø Bonasi/ mizunguko ya bure ya Jumamosi na Jumapili zitalipwa Jumatatu.
Ø Ni muhimu kuweka Kitambulisho sahihi kwenye akaunti na namba ya simu.

Mchezaji mmoja anaweza kushinda zawadi isiyozidi moja (bonasi au mizunguko ya bure ya kasino mtandaoni) wakati wa ofa.

Ø Wheel of Fortunes inapatikana kwenye kompyuta na simu, na si progamu (APP).

Ø Ofa itadumu kuanzia tarehe 31.10.2023 hadi 30.11.2023.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...