Mbunge wa vitu maalum kupitia kundi la wafanyakazi Dr Alice Kaijage amewataka wakurugenzi wote kuwalipa posho ya madaraka Kwa maafisa watendaji kata na vijiji ili kuongeza morali ya kazi katika kituo Cha kazi
Akizungumza na wafanyakazi wa Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea Mbunge Dr Alice Kaijage alisema kuwa watendaji wanatakiwa kulipwa sh laki Moja Kila mwezi Kwa kuwa posho hiyo ipo kisheria.
Alisema kuwa watendaji wamekuwa wanafanya kazi ngumu kuliko wakurugenzi wanavyofikiri, watendaji wapo kazi muda wote
.jpeg)


Akizungumza na wafanyakazi wa Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea Mbunge Dr Alice Kaijage alisema kuwa watendaji wanatakiwa kulipwa sh laki Moja Kila mwezi Kwa kuwa posho hiyo ipo kisheria.
Alisema kuwa watendaji wamekuwa wanafanya kazi ngumu kuliko wakurugenzi wanavyofikiri, watendaji wapo kazi muda wote
.jpeg)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...