Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh,Hemed Suleiman Abdulla  kulia akiwa pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE)ambae pia ni Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete wakitoka katika Ufunguzi wa Mkutano wa Wakurugenzi hao utakao fanyika kwa mudaswa siku mbili katika Hoteli ya Park Hyati Mjini Zanzibar.
-Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE)ambae pia ni Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akiashiria jambo wakati akizungumza baaada ya kutoka katika Ufunguzi wa Mkutano wa Wakurugenzi wa Shirika hilo ambao utafanyika katika Hoteli ya Park Hyati Mjini Zanzibar.Mbele yake ni Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh,Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na Wanahabari baada ya kufungua Mkutano wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE)amabao Utafanyika kwa siku mbili  katika Hoteli ya Park Hyati Mjini Zanzibar.Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika hilo akiwa pia ni Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete,na kulia ni Naibu Waziri wa Elimu na Mqafunzo ya Amali Zanzibar  Ali Abdullgulam Hussein.


PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...