Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh,Hemed Suleiman Abdulla kulia
akiwa pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la
Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE)ambae pia ni Rais Mstaafu wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete wakitoka katika Ufunguzi
wa Mkutano wa Wakurugenzi hao utakao fanyika kwa mudaswa siku mbili
katika Hoteli ya Park Hyati Mjini Zanzibar.-Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu
Duniani (GPE)ambae pia ni Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akiashiria jambo wakati akizungumza
baaada ya kutoka katika Ufunguzi wa Mkutano wa Wakurugenzi wa Shirika
hilo ambao utafanyika katika Hoteli ya Park Hyati Mjini Zanzibar.Mbele
yake ni Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh,Hemed Suleiman Abdulla
akizungumza na Wanahabari baada ya kufungua Mkutano wa Bodi ya
Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE)amabao
Utafanyika kwa siku mbili katika Hoteli ya Park Hyati Mjini
Zanzibar.Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika hilo
akiwa pia ni Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya
Mrisho Kikwete,na kulia ni Naibu Waziri wa Elimu na Mqafunzo ya Amali
Zanzibar Ali Abdullgulam Hussein.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...