Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) leo tarehe 1 Desemba, 2023 umeshiriki Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani, ambayo kitaifa imefanyika Mkoani Morogoro katika Viwanja vya Michezo vya Shule ya Sekondari Morogoro. Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa.

Maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani mwaka 2023 yamebeba kauli mbiu isemayo “Jamii iongoze kutokomeza UKIMWI”.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...