Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu). Prof. Joyce L. Ndalichako akipokea zawadi kutoka kwa mfanyakazi wa T-MARC Tanzania mara baada ya kutembelea banda hilo wakati wa wiki ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani iliyofanyika kitaifa mkoani humo. Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Adam Kighoma Malima
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...