Na Mwandishi Wetu,Kilimanjaro

Mwenyekiti wa Bodi ya TIC Dkt. Benilith Mahenge amefungua rasmi semina ya wafanyabiashara na wawekezaji leo tarehe 18.01.2024 mkoani Kilimanjaro.

Jitihada hizi ni katika kuendelea uhamasishaji wa uwekezaji wa ndani na kuongeza uwelewa kwa watanzania juu ya dhana ya UWEKEZAJI pamoja na kufahamu majukumu ya TIC

Katika kampeni hiyo TIC imejipanga kuratibu semina hizo katika mikoa mbalimbali ili kuongeza uelewa na kuhakikisha watanzania wanafahamu namna maboresho ya sheria mpya ya uwekezaji ya mwaka 2022 chini ya serikali ya awamu ya sita ilivyojikita katika kumkwamua mtanzania kiuchumi

Kwa upande wa washirikinwa semina hiyo Bi. Joyce Ndossi ameshukuru na kusema semina hizi zinaidia sana kuatika kuboresha biashara na uwekezaji hivyo ziwe endelevu ili kuhakikisha jamii inafahamu


 

Baadhi ya washiriki katika Semina ya Uwekezaji
 

Mwenyekiti wa Bodi ya TIC Dkt.Benilth Mahenge akizungumza wakati akifungua Semina ya Wafanyabiashara  na Wawekezaji

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...