.jpeg)







Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Balozi Emmanuel John Nchimbi, katika picha za matukio mbalimbali kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Ngoyai Lowassa, ikiwa ni pamoja kushiriki ibada ya mazishi, utoaji wa heshima za mwisho, kuweka mchanga kwenye kaburi na kuweka shada la maua, ikiwa ni sehemu ya shughuli ya kumsindikiza Hayati Lowassa katika safari yake ya mwisho duniani, iliyofanyika leo Jumamosi, Februari 17, 2024, Kijiji cha Ngarash, Monduli, mkoani Arusha.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...