*Apongeza huduma zinazotolewa na Ofisi hiyo pamoja na Taasisi zake
Na, Mwandishi Wetu - Dar Es Salaam
Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda ametembelea banda la ushirikiano linalotumiwa kwa pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Taasisi zilizopo chini yake katika maonesho ya 48 ya biashara ya kimataifa ili kujionea jinsi watumishi wa ofisi hiyo wanavyotoa huduma kwa wananchi na wadau kwa ujumla.
Akiwa katika banda la Ofisi ya Waziri Mkuu, Mhe. Pinda amepongeza huduma bora zinazotolewa na ofisi hiyo kwa kushirikiana na Taasisi zake.
Kwa upande mwengine, amehimiza wanachi wajitokeze kwa wingi katika maonesho hayo na kutembelea banda hilo ili kupata elimu na huduma mbalimbali zinazotolewa na ofisi hiyo.
Maonesho hayo ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanaongozwa na kauli mbiu isemayo “Tanzania: Mahali Sahihi Pa Biashara na Uwekezaji,”..jpeg)










Na, Mwandishi Wetu - Dar Es Salaam
Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda ametembelea banda la ushirikiano linalotumiwa kwa pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Taasisi zilizopo chini yake katika maonesho ya 48 ya biashara ya kimataifa ili kujionea jinsi watumishi wa ofisi hiyo wanavyotoa huduma kwa wananchi na wadau kwa ujumla.
Akiwa katika banda la Ofisi ya Waziri Mkuu, Mhe. Pinda amepongeza huduma bora zinazotolewa na ofisi hiyo kwa kushirikiana na Taasisi zake.
Kwa upande mwengine, amehimiza wanachi wajitokeze kwa wingi katika maonesho hayo na kutembelea banda hilo ili kupata elimu na huduma mbalimbali zinazotolewa na ofisi hiyo.
Maonesho hayo ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanaongozwa na kauli mbiu isemayo “Tanzania: Mahali Sahihi Pa Biashara na Uwekezaji,”.
.jpeg)










Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...