Meneja Biashara kutoka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Harieth Nyalusi akitoa maelezo kuhusu fursa mbalimbali zinazopatikana katika viwanja vya ndege vinavyosimamiwa na Mamlaka hiyo wakati wa maonesho ya Nane ya Swahili International Tourism Expo (S!TE 2024) katika Ukumbi wa Mlimani City mkoani Dar es Salaam 
Afisa Masoko TAA Kasanga Festo akitoa maelezo kwa wananchi waliofika kwenye banda la Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa na mamlaka hiyo wakati wa maonesho ya Nane ya Swahili International Tourism Expo (S!TE 2024) katika Ukumbi wa Mlimani City mkoani Dar es Salaam.
Afisa Uhusiano Mwandamizi kutoka TAA Mariam Lussewa akitoa maelezo kwa mwananchi aliyetembelea banda la Mamlaka hiyo kuhusu kazi zinazofanywa na Mamlaka hiyo wakati wa maonesho ya Nane ya Swahili International Tourism Expo (S!TE 2024) katika Ukumbi wa Mlimani City mkoani Dar es Salaam.
Afisa Biashara kutoka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Gelina Lulandala akizikiliza maoni ya wateja pamoja na kutoa elimu kuhudu Mamlaka hiyo wakati wa maonesho ya Nane ya Swahili International Tourism Expo (S!TE 2024) katika Ukumbi wa Mlimani City mkoani Dar es Salaam.
Afisa Mipango na Takwimu kutoka TAA Edward Kimaro akizungumzia miradi mbalimbali inayotekelezwa na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) wakati wa maonesho ya Nane ya Swahili International Tourism Expo (S!TE 2024) katika Ukumbi wa Mlimani City mkoani Dar es Salaam.
Afisa Masoko kutoka  TAA Shaaban Towo  akitoa maelezo kuhusu elimu kwa mwananchi aliyetembelea Banda la Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA)  kwenye maonesho ya Nane ya Swahili International Tourism Expo (S!TE 2024) katika Ukumbi wa Mlimani City mkoani Dar es Salaam.

Wafanyakazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) wakiwa kwenye picha ya wakati wa wakati wa maonesho ya Nane ya Swahili International Tourism Expo (S!TE 2024) katika Ukumbi wa Mlimani City mkoani Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...