TUZO ya Mchekeshaji bora wa kike wa Mwaka imekwenda Kwa binti Mrembo Asma Jameeda katika Usiku wa Tuzo za Ucheshi(TCA) ambae anatokea kwenye Jukwaa la cheka tu.

Katika hafla hiyo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mgeni rasmi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...