Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja leo tarehe 10 Machi, 2025 amewatembelea na kuzungumza na watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Kanda ya Ziwa jijini Mwanza wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Semesi.



Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Kanda ya Ziwa jijini Mwanza wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Semesi kulia alipotembelea Ofisi za Baraza hilo jijini Mwanza leo tarehe 10 Machi, 2025. Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Paul Deogratius.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...