Mkutano wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki umeanza leo Aprili 22, 2025 jijini Arusha ambako ndiyo Makao Makuu ya Jumuiya hiyo.

Mkutano huo utakaofanyika kwa ngazi ya Wataalamu Aprili 22 na 23, 2025; ngazi ya Makatibu Wakuu Aprili 24, 2025 na ngazi ya Mawaziri Aprili 25, 2025 utajadili masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na mapendekezo ya mpango wa bajeti ya jumuiya hiyo kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

Ujumbe wa Tanzania anashiriki kikamilifu kwenye mkutano huo.








Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...