
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Chifu Hangaya, ambaye ni Mkuu wa Machifu nchini, akiwa kwenye Kituo cha Hifadhi ya Utamaduni wa Kabila la Wasukuma - Bujora, Magu, mkoani Mwanza, leo Jumamosi, tarehe 21 Juni 2025.
Rais Dkt. Samia Chifu Hangaya, anashiriki Tamasha la Bulabu, linalofanyika katika Uwanja wa Bulabu, Kisea. Pichani, kushoto kwa Mhe. Rais ni Chifu Antonia Tonisizya, Mwenyekiti wa Umoja wa Machifu, Tanzania na kulia kwake ni Chifu Nyamilonda II, Aron Mikomangwa, ambaye ni Katibu wa Machifu.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...