Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akitoa pole kwa familia ya marehemu Mobutu Malima, nyumbani kwake Kishili, Nyamagana, mkoani Mwanza, tarehe 20 Juni 2025.

Ndugu Malima, ambaye alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Naibu Katibu Mkuu (Bara), Makao Makuu ya CCM, Dodoma alifariki tarehe 15 Juni na anatarajiwa kuzikwa Jumapili, tarehe 22 Juni 2025, eneo la Ihayabuyaga, Magu, mkoani Mwanza.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...