KAMPUNI inayoongoza kwa michezo ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, imezindua promosheni ya kipekee kwa wachezaji wa kasino mtandaoni. Kupitia kampeni hii, wapenzi wa mchezo maarufu wa Super Heli sasa wana nafasi ya kipekee ya kujishindia simu mpya ya kisasa aina ya Samsung A25.

Super Heli ni moja ya michezo inayozidi kujizolea umaarufu mkubwa kwa sababu ya muundo wake wa kipekee, wepesi wa kuchezeka, na namna ya kipekee ya kushinda. Mchezo huu unamruhusu mchezaji kuweka dau, kisha kuipaisha ndege hewani. Kadri ndege inavyopaa, ndivyo dau lako linavyoongezeka thamani. Ushindi unapatikana pale unapotoa fedha zako kabla ya ndege kuanguka. Ni mchanganyiko wa uamuzi sahihi, bahati, na burudani ya hali ya juu.

NB; Mbali na mchezo huu mzuri, Meridianbet pia inatoa michezo mingine ya kasino mtandaoni pamoja na kubashiri mechi za kimataifa kwa odds nzuri, ikikuwezesha kuongeza mapato kwa njia rahisi na salama. Tembelea meridianbet.co.tz au piga *149*10# kuanza sasa.

Sasa, Meridianbet wameongeza msisimko kwa kutoa simu mpya ya Samsung A25 kama zawadi ya ziada kwa wachezaji wa Super Heli. Hii si nafasi ya kupata pesa tu, bali pia ni njia ya kumiliki simu ya kisasa bila kuingia gharama kubwa. Kwa hiyo, unapocheza, unapata burudani, nafasi ya kushinda fedha, na wakati huo huo, unaweza kuwa mshindi wa zawadi ya kifahari kabisa.

Ili kushiriki kwenye promosheni hii, tembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha jisajili na fungua akaunti yako. Baada ya kufungua akaunti, weka dau lako na uanze kucheza Super Heli. Kumbuka, unaweza kucheza kwa dau lolote, lakini dau kubwa linaongeza nafasi ya ushindi mkubwa zaidi, ikiwemo zawadi ya simu mpya.

Usikose nafasi hii ya kipekee ya kujishindia simu ya Samsung A25 kupitia mchezo unaosisimua wa Super Heli. Jiunge sasa na Meridianbet, ufurahie burudani ya kasino, ujishindie zawadi na uingie kwenye orodha ya washindi wanaojivunia kutumia huduma za Meridianbet

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...