Mbunge wa Singida Mashariki,Miraji Mtaturu amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia jimbo la Ikungi Mashariki.

Jina la Jimbo hilo limetokana na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kubadilisha jina la awali la Singida Mashariki kuwa Ikungi Mashariki na Singida Magharibi kuwa Ikungi Magharibi.

Mtaturu amekabidhiwa fomu hiyo leo Juni 29,2025,na Katibu wa CCM Wilaya ya Ikungi,Joshua Mbwana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...