Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Kundi la Wenye Ulemavu  Ummy Nderiananga  Juni 30,2025 amechukua fomu ya kugombea Ubunge Viti Maalum kundi la Wanawake Wenye Ulemavu.

Nderiananga amekabidhiwa fomu hiyo katika Ofisi ya  Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na Katibu UWT  Mkoa wa Kilimanjaro  Ndug. Jane Chatanda.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...