BALOZI wa Tanzania nchini Comoro, Mhe. Saidi Yakubu akiwa katika mazungumzo na Rais wa nchi hiyo, Mhe. Azali Assoumani walipokutana hivi karibuni. Rais Azali amemshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa ujio wake nchini Comoro na maelezo mazuri kwa wananchi na Serikali ya Comoro ambapo pamoja na mambo mengine, aliahidi kufanya kazi na Serikali ya Rais Azali kuimarisha Sekta ya Afya na kueneza lugha ya Kiswahili.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...