Watoto wakiwa banda la VETA katika Maonesho ya Sabasaba wakijifunza Uchoraji ,Ushonaji ,Ususi ikiwa ni malengo ya VETA watoto waanze kujua ufundi Stadi mapema.
Mhitimu wa VETA ambaye ni mlemavu hana mikono akionyesha umahiri wa kuchora kwa kutumia miguu katika Banda la VETA kwenye Maonesho ya Sabasaba.
Watoto wakiwa banda la VETA katika Maonesho ya Sabasaba wakijifunza Uchoraji wa vitu mbalimbali ikiwa ni malengo ya VETA watoto waanze kujua ufundi Stadi mapema
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...