Watoto wakiwa banda la VETA katika Maonesho ya Sabasaba wakijifunza Uchoraji ,Ushonaji ,Ususi ikiwa ni malengo ya VETA watoto waanze kujua ufundi Stadi  mapema.
Mhitimu wa VETA ambaye ni mlemavu hana mikono akionyesha umahiri wa kuchora kwa kutumia miguu katika Banda la VETA  kwenye Maonesho ya Sabasaba.
Watoto wakiwa banda la VETA katika Maonesho ya Sabasaba wakijifunza Uchoraji wa vitu mbalimbali  ikiwa ni malengo ya VETA watoto waanze kujua ufundi Stadi  mapema








Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...