Mtia nia wa Ubunge wa Jimbo la Makambako, Ndugu Daniel Godfrey Chongolo akishiriki kupiga kura ya maoni kwa nafasi ya Ubunge wa jimbo hilo na Udiwani (uchaguzi wa ndani wa chama hicho),leo Jumatatu,Agosti 4,2025 katika kata ya Mlowa, jimbo la Makambako mkoani Njombe.















Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...