Na Mwandishi Wetu
Wakili Msomi Happiness Justin Kinyaha kupigiwa kura za maoni leo na wajumbe kata ya Kunduchi nafasi ya Udiwani
Wakili Msomi Kinyaha ni mmoja ya wagombea watakao pigiwa kura za maoni na wajumbe leo katika kata ya Kunduchi
Kinyaha ni mmoja ya wagombea watatu ambao majina yake yalirudi baada ya michakato ya vikao vya kamati za siasa za Chama Cha Mapinduzi kwa ngazi ya Kata , Wilaya , Mkoa na Halmashauri Kuu kumalizika.
Awali Kunduchi baada vikao walipitisha wagombea watia nia watatu ,baadhi ya wajumbe walitaka kurudishwa wagombea ambapo majina mawili yalirudi na kufanya wagombea kuwa watano kwa Kata hiyo.

Wakili Msomi Happiness Justin Kinyaha kupigiwa kura za maoni leo na wajumbe kata ya Kunduchi nafasi ya Udiwani
Wakili Msomi Kinyaha ni mmoja ya wagombea watakao pigiwa kura za maoni na wajumbe leo katika kata ya Kunduchi
Kinyaha ni mmoja ya wagombea watatu ambao majina yake yalirudi baada ya michakato ya vikao vya kamati za siasa za Chama Cha Mapinduzi kwa ngazi ya Kata , Wilaya , Mkoa na Halmashauri Kuu kumalizika.
Awali Kunduchi baada vikao walipitisha wagombea watia nia watatu ,baadhi ya wajumbe walitaka kurudishwa wagombea ambapo majina mawili yalirudi na kufanya wagombea kuwa watano kwa Kata hiyo.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...