Katika muendelezo wa kusambaza Kapu la Vodacom kwenye maeneo mbalimbali nchini, timu ya Vodacom Tanzania Plc imefika Soko la Machinga Dodoma na kuwapatia wateja wake zawadi za makapu yaliyo sheheni vitu lukuki. Zoezi hili linaendeleza utoaji wa makapu ambao tayari umefanyika katika mikoa ya mbalimbali hapa nchini. Hatua hii inaonyesha utayari wa Vodacom kurudisha shukrani kwa wateja wake, kusherehekea pamoja nao katika msimu huu wa sikukuu na kuhitimisha sherehe za miaka 25 ya huduma nchini Tanzania
Home
HABARI
VODACOMA TANZANIA YAFIKA SOKO LA MACHINGA DODOMA NA KUTOA ZAWADI ZA MAKAPU KWA WATEJA WAKE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.jpeg)
.jpeg)

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...