Mafundi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar Es Salaam DAWASA wamekamilisha kazi ya usafishaji miundombinu ya majitaka mtaa wa Shaurimoyo na Lindi Kata ya Kariakoo.

Kukamilika kwa kazi hiyo kutaboresha Mazingira ya utendaji kazi kwa wafanyabiashara wa spea za magari katika mtaa huo kumaliza harufu iliyosababishwa na utiririkaji wa majitaka kiholela.

Mamlaka inasisitiza matumizi sahihi ya miundombinu ya majitaka kwa kutotupa taka ngumu katika mifumo hiyo na kuwaasa wananchi kutoa taarifa za mara kwa mara pindi inapotokea changamoto ya utiririshaji majitaka.



 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...