Afisa Muongozaji Ndege wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) Fadhil Nkomally akielezea jinsi huduma za Uongozaji Ndege zinavyofanyika kwa Mwananchi aliyefika katika Banda la TCAA katika Maonesho ya 12 ya Kimataifa ya Biashara Zanzibar, yanayoendelea kufanyika katika Kituo cha Maonesho kilichopo Dimani, Zanzibar.
Mgeni akisaini kitabu cha katika Banda la TCAA katika Maonesho ya 12 ya Kimataifa ya Biashara Zanzibar, yanayoendelea kufanyika katika Kituo cha Maonesho kilichopo Dimani, Zanzibar.
Mkaguzi wa Ndege Nyuki (Droni) wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Alex Kadiva akitoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi salama na yenye kuzingatia sheria za Ndege Nyuki (Droni) katika Banda la TCAA katika Maonesho ya 12 ya Kimataifa ya Biashara Zanzibar, yanayoendelea kufanyika katika Kituo cha Maonesho kilichopo Dimani, Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...